Klabu ya FC Barcelona imerejea kileleni mwa msimamo wa La Liga baada ya kuichapa Levante UD mabao 3-0 katika mchezo uliochezwa Jumapili, Februari 22, 2026.
Katika mechi hiyo iliyopigwa uwanja wa Camp Nou, Barcelona ilianza kwa kasi na kupata bao la mapema dakika ya nne kupitia kwa kiungo chipukizi Marc Bernal. Bao hilo liliwapa wenyeji kujiamini na kuendelea kuutawala mchezo kwa umiliki..... download Xtra 90 App



