Usiku wa Jumatatu, tarehe 23 Februari 2026, Manchester United waliendelea na wimbi la matokeo mazuri chini ya kocha wa muda Michael Carrick, wakipata ushindi wa 1-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu Uingereza uliochezwa kwenye Hill Dickinson Stadium.
Benjamin Sesko alimaliza mchezo huo akiwa shujaa kwa kuifungia United bao la ushindi katika dakika ya 71 baada ya kuchukuliwa kama..... download Xtra 90 App



