Yanga, Simba, Azam Fc dimbani mechi za viporo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th February 2026


Yanga, Simba, Azam Fc dimbani mechi za viporo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi tatu za viporo zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali.

Mabingwa watetezi Yanga wao watashuka uwanja wa KMC Complex kuwakabili vinara wa ligi hiyo JKT Tanzania katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Nao Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc watakuwa mkoani Dodoma kuikabili Dodoma Jiji katika mechi nyingine inayotarajiwa kuwa na msisimko.

Mchezo utakohitimisha ratiba ya leo ni kati ya Azam Fc dhidi ya Mtibwa Sugar ambao utapigwa uwanja wa Azam Complex.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.