Klabu ya Manchester City ipo hatarini kukumbwa na adhabu nzito ya kupokwa kati ya alama 40 hadi 60 endapo itapatikana na hatia katika kesi ya ukiukaji wa kanuni za kifedha inayomkabili katika Ligi Kuu ya England.
City inakabiliwa na jumla ya mashtaka 115 yanayohusiana na madai ya kukiuka kanuni za kifedha za Premier League, ikiwemo tuhuma za kutotoa taarifa sahihi za mapato na matumizi..... download Xtra 90 App



