Homa ya pambano la watani wa jadi ligi kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya Simba inazidi kupanda zikisalia takribani siku nne tu mchezo huo kupigwa visiwani Zanzibar.
Mchezo huo namba 54 utapigwa uwanja wa New Amaan Complex siku ya Jumapili, March 1 saa 3 usiku.
Klabu ya Yanga imeondoka mapema leo jijini Dar es salaam kuelekea Zanzibar kukamilisha maandalizi yake huku watani zao Simba..... download Xtra 90 App



