Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imeweka tarehe 5 Machi 2026 kutoa uamuzi wake wa mwisho katika mgogoro mkubwa wa ubingwa wa Ligi Kuu ya Misri (Egyptian Premier League) msimu wa 2024/25, suala ambalo limekuwa likizua mjadala mkali ndani ya soka la Misri na Afrika kwa ujumla.
Uamuzi huu unatambuliwa kuwa hatua ya mwisho katika mzozo wa kisheria uliodumu kwa miezi kadhaa kati ya..... download Xtra 90 App



