Uongozi wa klabu ya Singida Black Stars kupitia Kamati ya nidhamu umetangaza kuwasimamisha kiungo Khalid Aucho na mlinda lango Amos Abasogie kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.
Taarifa ilyotolewa na Singida BS imebainisha kuwa nyota hao wamesimamishwa miezi mitatu kila mmoja,
Aucho anatuhumiwa kwa utoro kazini wakati Abasogie anatuhumiwa kwa makosa ya upangaji wa..... download Xtra 90 App



