Mashabiki wa soka nchini wanatarajia kwa hamu kubwa mchezo wa Kariakoo Derby kati ya Young Africans SC na Simba SC utakaochezwa Jumapili, Machi 1, 2026 katika dimba la New Amaan Complex kuanzia saa 2:15 usiku. Mchezo huo unakuja wakati Yanga wakiongoza msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara wakiwa na alama 28 baada ya mechi 10, huku Simba wakishika nafasi ya tatu na alama 23 baada ya idadi hiyo hiyo..... download Xtra 90 App



