Singida BS, Pamba, Azam Fc uwanjani leo Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ β€’ 2nd March 2026


Singida BS, Pamba, Azam Fc uwanjani leo Ligi Kuu

Baada ya watani wa jadi Yanga na Simba kumalizana jana katika mchezo uliopigwa uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar na kumalizika kwa suluhu ya bila kufungana, mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo kwa mechi nyingine mbili kupigwa.

Singida BS watakuwa wenyeji wa Coastal Union mchezo utakaopigwa uwanja wa Airtel huku Pamba Jiji wakiwakaribisha Azam Fc mchezo utakaopigwa uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Mechi zote zinatarajiwa kupigwa saa 10 jioni.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.