Rais wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, amesema hajui kama Timu yao ya Taifa itaweza kushiriki fainali za Kombe la Dunia baada ya mashambulizi ya Marekani na Israeli dhidi ya nchi yake.
"Kilicho hakika ni baada ya mashambulio haya, hatuwezi kutarajiwa kushiriki Kombe la Dunia," amesema Taj akiiambia tovuti ya michezo Varzesh3 huku Iran ikishambuliana na Israeli kama sehemu ya..... download Xtra 90 App



