Klabu ya Real Madrid CF imepata ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya RC Celta de Vigo katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania, La Liga, uliochezwa usiku wa Ijumaa (Machi 6, 2026) katika dimba la BalaΓdos, jijini Vigo.
Ushindi huo ulipatikana kwa njia ya kusisimua baada ya kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde, kufunga bao la ushindi katika dakika za nyongeza na kuihakikishia timu yake..... download Xtra 90 App



