Jana klabu ya Singida BS ilitangaza kumsamehe mlinda lango wake Amas Obasogie ambaye awali alifungiwa kwa tuhuma za upangaji wa matokeo.
Kupitia taarifa iliyotolewa na klabu hiyo, Singida BS walitangaza kumsamehe baada ya kamati iliyofanya uchunguzi wa tuhuma zake kutobaini ushahidi wowote.
Obasogie amerejeshwa kikosini siku chache kabla ya Singida BS kuikabili Simba kwenye mchezo..... download Xtra 90 App



