Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza kuongeza kwa kiasi kikubwa fedha za zawadi kwa mashindano yake makubwa ya klabu, CAF Champions League (CAFCL) na CAF Confederation Cup (CAFCC) kuanzia msimu wa 2025/2026.
Tangazo hilo lilitolewa na rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, ambaye alisema hatua hiyo inalenga kuimarisha ushindani wa soka la klabu barani Afrika na kuongeza mapato..... download Xtra 90 App



