Michuano ya UEFA Champions League iliendelea kwa michezo ya hatua ya 16 bora (Round of 16) β mkondo wa kwanza iliyochezwa Jumatano usiku, Machi 11, 2026, ambapo kulishuhudiwa ushindi mkubwa wa Real Madrid na Paris SaintGermain F.C.huku timu nyingine zikigawana pointi.



