Soko la usajili barani Ulaya linaanza kupamba moto huku klabu kubwa zikianza kupanga mikakati ya kuimarisha vikosi vyao kabla ya dirisha la majira ya joto kufunguliwa. Leo Alhamisi, Machi 12, 2026, taarifa mbalimbali zinaendelea kuzagaa zikihusisha wachezaji kadhaa wanaoweza kubadilisha jezi mwishoni mwa msimu.





