Klabu ya Mamelodi Sundowns imeanza vyema hatua ya robo fainali ya mashindano ya CAF Champions League baada ya kuichapa Stade Malien ya Mali kwa mabao 3β0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliochezwa Ijumaa, Machi 13, 2026 kwenye Uwanja wa Loftus Versfeld mjini Pretoria.
Sundowns walionyesha ubora mkubwa mbele ya mashabiki wao na kufanikiwa kupata mabao matatu yaliyowapa faida kubwa..... download Xtra 90 App



