Kocha Mkuu wa Yanga Pedro Goncalves amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Azam Fc ambao utapigwa kesho Jumapili katika uwanja wa Benjamin Mkapa.
Akizungumza katika mkutano na wanahabari mapema leo, Goncalves amesema mchezo dhidi ya Azam Fc utakuwa mgumu kwa sababu wanakutana na timu ngumu.
Goncalves amesisitiza kuwa wachezaji wake watakwenda kupambana..... download Xtra 90 App



