Jumapili, tarehe 15 Machi 2026, mashabiki wa soka walishuhudia mchezo wa kusisimua katika ligi ya Hispania La Liga, ambapo FC Barcelona iliibuka na ushindi mkubwa wa mabao 5-2 dhidi ya Sevilla FC. Ushindi huo uliimarisha zaidi nafasi ya Barcelona kileleni mwa msimamo wa ligi .
Mchezo huo ulipigwa katika dimba la Spotify Camp Nou mbele ya maelfu ya mashabiki waliokuja kushuhudia pambano..... download Xtra 90 App



