Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Miguel Gamondi ametangaza majina ya wachezaji 23 watakaoingia kambini Machi 23, 2026 kujiandaa na michezo miwili ya FIFA Series 2026, Kigali, Rwanda
Tanzania itashiriki 2026 FIFA Series Kigali, Rwanda, michuno inayotarajiwa kuanza March 26–30, 2026, uwanja wa Pele. Tanzania imepangwa kundi Group B pamoja na Liechtenstein, Aruba, na Macau
Mechi ya kwanza watacheza March 26, 2026, dhid ya Liechtenstein. Michuano hii iko ndani ya kalenda ya FIFA
