Nyota wa kimataifa wa Senegal, Sadio Mané, ameonyesha kushangazwa na uamuzi wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuinyang’anya Senegal ubingwa wa Africa Cup of Nations 2025 na badala yake kuipa Morocco .
Akizungumza kufuatia uamuzi huo tata, Mané alieleza kuwa hatua hiyo imewashtua wachezaji na mashabiki wa soka, akisisitiza kuwa haikuwa haki kwa timu iliyopambana na kushinda..... download Xtra 90 App



