Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya TRA United dhidi ya Yanga uliopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha umemalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana.
Ni mchezo ambao haukuwa na mashambulizi mengi, wenyeji TRA United wakikaa nyuma kuzuia wakitumia mashambulizi ya kushitukiza huku Yanga licha ya kutawala mchezo kwa muda mwingi, walikosa kasi katika kutengeneza mashambulizi..... download Xtra 90 App



