Hatua ya 16 bora ya michuano ya UEFA Champions League imekamilika rasmi usiku wa Jumatano, Machi 18, 2026, baada ya kuchezwa mechi nne zilizokuwa na ushindani mkubwa na matokeo ya kusisimua.
Katika dimba la Anfield, Liverpool FCwalionyesha kiwango cha juu kwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Galatasaray. Ushindi huo uliwawezesha Liverpool kufuzu kwa jumla ya mabao 4-1,..... download Xtra 90 App



