Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa mkoani Mwanza na kule Kigoma mwisho wa reli.
Jijini Mwanza Simba Sc itakuwa ugenini kuikabili Pamba Jiji kwenye mchezo utakaopigwa saa 10 jioni.
Ni wazi utakuwa mchezo mgumu unaozikutanisha timu mbili ambazo kwenye mechi zilizopita kati yao, nyasi ziliumia.
Pamba Jiji imeufanya uwanja wa CCM Kirumba kuwa..... download Xtra 90 App



