Ndoto ya Kenya kuwa mwenyeji mwenza wa michuano ya Africa Cup of Nations 2027 iko mashakani kufuatia changamoto kubwa za kifedha na maandalizi, huku taarifa mpya za Machi 20, 2026 zikionyesha hatari hiyo kuwa halisi.
Ada ya CAF Yaiweka Kenya Kwenye Presha
Kwa mujibu wa taarifa za hivi karibuni, Kenya inakabiliwa na uwezekano wa kupoteza nafasi yake ya kuwa mwenyeji mwenza wa AFCON..... download Xtra 90 App



