Mashindano ya CAF Confederation Cup 2025/26 yameingia hatua ya kusisimua baada ya kukamilika kwa mechi za mkondo wa pili wa robo fainali zilizopigwa Jumapili, Machi 22, 2026, huku timu nne zikifanikiwa kutinga nusu fainali.
Katika mechi hizo, Zamalek SC walifanikiwa kusonga mbele baada ya kuibuka na ushindi wa jumla wa mabao 3-2 dhidi ya AS Otoho. Baada ya sare ya 1-1 kwenye mechi ya..... download Xtra 90 App



