Kocha mkongwe wa soka kutoka Uingereza, Roy Hodgson, amerejea rasmi katika majukumu ya ukocha akiwa na umri wa miaka 78 baada ya kuteuliwa kuinoa klabu ya Bristol City kwa muda hadi mwisho wa msimu wa 2025/26.
Taarifa hiyo imethibitishwa na klabu hiyo inayoshiriki Ligi ya Championship nchini Uingereza, kufuatia kufutwa kazi kwa aliyekuwa kocha wake, Gerhard Struber, kutokana na mwenendo..... download Xtra 90 App



