Tanzania imepanda kwa nafasi moja katika viwango vya ubora vya vyama vya soka barani Afrika vinavyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kufuatia mafanikio ya klabu zake katika mashindano ya kimataifa.
Kwa mujibu wa tathmini ya hivi karibuni ya CAF ya miaka mitano, Tanzania sasa inashika nafasi ya tano barani Afrika, ikipanda kutoka nafasi ya sita iliyokuwa nayo hapo awali...... download Xtra 90 App



