Timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', leo Jumapili, Machi 29, 2026, itashuka dimbani kumenyana na Macau katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu wa mashindano ya FIFA Series.
Mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa Pele uliopo Kigali, ukiwa ni wa mwisho kwa timu zote mbili baada ya kushindwa kupata ushindi katika michezo yao ya awali.





