Local, Azam, Singida

Azam Fc yaiwahi Singida BS mapema

Joel JJ By Joel JJ
β€’
29 Mar 2026
Azam Fc yaiwahi Singida BS mapema

Kikosi cha Azam Fc kimeondoka jijini Dar es salaam mapema leo kuelekea mkoani Singida tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida Black Stars.

Mchezo huo utapigwa siku ya Jumatano, April 1 katika uwanja wa Airtel huko Singida.

Wauza Ice Cream hao wameondoka Dar mapema Jumapili kwa kutumia usafiri wa traini SGR hadi mkoani Dodoma ambako wanatarajiwa kuweka kambi ya muda mfupi kabla ya kuelekea Singida.

Azam Fc wanashika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi wakiwa na alama 29 ambapo ushindi unaweza kuwasogeza hadi nafasi ya pili wakati wenyeji wao Singida BS wanashinda nafasi ya 6 wakiwa na alama 25.

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
5m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
34m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’