International,Transfer News,Arsenal, Club Brugge

Arsenal Waongoza Mbio za Kumsajili Tresoldi

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
29 Mar 2026
Arsenal Waongoza Mbio za Kumsajili Tresoldi

Klabu ya Arsenal FC imepiga hatua kubwa katika mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji kijana wa Kijerumani mwenye umri wa miaka 21, Nicolò Tresoldi, kutoka Club Brugge./p>

Tresoldi alijiunga na Club Brugge majira ya kiangazi yaliyopita akitokea Hannover 96 kwa ada ya euro milioni 7.5, na tangu hapo ameonyesha kiwango bora katika msimu wake wa kwanza, akifunga mabao 17 katika mashindano yote.

Kwa sasa, Arsenal wanaonekana kuwa mbele ya klabu nyingine kutoka Hispania, Italia na Ujerumani katika mbio za kuwania saini yake, huku dili hilo likitarajiwa kugharimu kati ya euro milioni 25 hadi 30.

Uongozi wa Arsenal unaona usajili huo kuwa ni uwekezaji mzuri na wa gharama nafuu kwa ajili ya kuimarisha safu ya ushambuliaji ya kocha Mikel Arteta, akitarajiwa kuwa msaada kwa Gabriel Jesus na Kai Havertz ndani ya kikosi hicho.

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
5m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
34m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’