Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum maarufu kama 'Fei Toto', ameendelea kuwa nguzo muhimu ya timu hiyo baada ya kuonyesha kiwango cha juu katika misimu mitatu mfululizo ya Ligi Kuu Bara.
Msimu wa huu 2025β2026, Fei Toto ameshiriki moja kwa moja katika mabao 11, akifunga mabao sita na kutoa assisti tano. Bao lake dhidi ya Dodoma Jiji mnamo Machi 11, 2026, kwenye ushindi wa 3-0, limemfanya..... download Xtra 90 App



