Klabu ya Al Hilal Omdurman imewasilisha rufaa rasmi kwa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) kupinga matokeo ya mchezo wao wa robo fainali ya CAF Champions League dhidi ya RS Berkane, wakidai kuwa wapinzani wao walimchezesha mchezaji asiye na sifa.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Al Hilal wanapinga ushiriki wa beki wa Berkane,



