Klabu ya Simba SC imeendeleza ubabe wake katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo Alhamisi, Aprili 2, 2026.
Wekundu wa Msimbazi walimaliza kazi mapema ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza, wakipata mabao yao kupitia kwa Suleiman Mwalimu na Ismail Toure, waliotumia vyema nafasi..... download Xtra 90 App



