Soka la Italia limeingia katika kipindi kigumu baada ya viongozi wakuu wa timu ya taifa kujiuzulu kufuatia kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia, tukio lililozua mjadala mkubwa nchini humo na kimataifa.
Rais wa Shirikisho la Soka Italia (FIGC), Gabriele Gravina, ametangaza rasmi kuachia ngazi akichukua dhamana ya matokeo mabaya ya timu ya taifa. Hatua hiyo imekuja kufuatia presha kubwa..... download Xtra 90 App



