Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo amapo mechi tatu zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali.
Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga watakuwa dimba la nyumbani KMC Complex kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo ambao utapigwa saa 12:30 jioni.
Baada ya kukosa ushindi katika mechi tatu zilizopita, ni wazi Wananchi leo 'wataikamia' Tanzania Prisons ambayo hata hivyo licha ya kuyumba..... download Xtra 90 App



