Klabu ya Liverpool imepata kipigo kizito cha mabao 4-0 kutoka kwa Manchester City katika mchezo wa robo fainali ya FA Cup uliopigwa Aprili 4, 2026 kwenye dimba la Etihad.
Haaland awatesa Liverpool kwa hat-trick
Mshambuliaji hatari Erling Haaland alikuwa nyota wa mchezo baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick). Alianza kwa kufunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 39, kisha..... download Xtra 90 App



