Wakati presha ikizidi kupanda kuelekea mchezo wa hatua ya 16 bora ya Kombe la CRDB, kati ya Simba dhidi ya Dodoma Jiji ambao utapigwa Jumapili ya wiki hii, Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji Aman Josiah ameweka wazi dhamira yake ya kuiondosha Simba SC kwenye michuano hiyo.
Baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi Fountain Gate katika mchezo uliopita wa ligi kuu, Josiah amesema kikosi chake kina ari..... download Xtra 90 App



