Klabu ya Simba SC imetangaza azma ya kupeleka shauri lake katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo,Court of Arbitration for Sport (CAS), kufuatia kutoridhishwa na uamuzi wa Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Tanzania Football Federation uliotupilia mbali kesi yao dhidi ya mchezaji Mohamed Damaro.
Hatua hiyo imetangazwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa..... download Xtra 90 App



