Local,International,Normal News,UEFA,Real madrid,Bayern munich,Arsenal,Sporting Cp

Bayern, Arsenal mguu ndani nusu fainali UEFA

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
8 Apr 2026
Bayern, Arsenal mguu ndani nusu fainali UEFA

Matokeo ya michezo ya robo fainali mkondo wa kwanza wa UEFA Champions League yaliyochezwa usiku wa leo:

• Real Madrid 1–2 Bayern Munich

Mchezo huu uliokuwa na ushindani mkubwa umemalizika kwa Bayern Munich kuibuka na ushindi muhimu ugenini. Mabao ya Luis Díaz na Harry Kane ndio yaliyozamisha jahazi la Los blancos huku bao pekee la kufutia machozi likifungwa na Kylian Mbappé na kuhakikisha Bayern wanachukua ushindi huo muhimu kabla ya mechi ya marudiano itakayopigwa Allianz arena (Ujerumani).

• Sporting CP 0–1 Arsenal

Arsenal wamefanikiwa kupata ushindi mwembamba ugenini kupitia bao pekee la dakika za jioni la Kai Havertz, matokeo yanayowaweka katika nafasi nzuri kuelekea mchezo wa marudiano pale Emirates stadium (uingereza).

Kwa matokeo haya, Bayern Munich na Arsenal wanaondoka na faida muhimu, huku Real Madrid na Sporting CP wakilazimika kupambana zaidi katika michezo ya marudiano ili kugeuza matokeo.

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
5m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
34m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’