International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Jumatano, April 08 2026

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Apr 2026
Tetesi za usajili Ulaya, Jumatano, April 08 2026

Dirisha la usajili linazidi kupamba moto huku majina makubwa yakihusishwa na miamba wa soka barani Ulaya. Leo, macho yote yako kwa mastaa wa klabu kubwa wanaoweza kubadili jezi msimu huu wa joto.


Enzo Fernandez Aitaka Real Madrid

Kiungo wa Chelsea, Enzo Fernandez, anadaiwa kuwa tayari kuwasilisha ombi la kuondoka klabuni hapo ili kujiunga na Real Madrid (El Chiringuito via Goal).


Tottenham Wamnyatia Trafford

Tottenham Hotspur wanamtaka kipa James Trafford wa Manchester City kama mbadala wa Guglielmo Vicario, anayewindwa na Inter Milan (The Sun).


Maguire Aamua Kubaki United

Harry Maguire alikataa kujiunga na Inter Miami kabla ya kusaini mkataba mpya na Manchester United, akilenga kumalizia soka lake hapo (The Sun).


Liverpool na Newcastle Wamfuatilia Palestra

Liverpool na Newcastle United wanamfuatilia Marco Palestra, anayekipiga kwa mkopo Cagliari akitokea Atalanta (TeamTalk).


Ugarte Kuuza Njia ya United

Manchester United wanapanga kumuuza Manuel Ugarte huku Galatasaray, Newcastle na Tottenham wakionyesha nia (Fabrizio Romano).


Elliot Anderson Aikataa United?

Elliot Anderson anaonekana kupendelea kujiunga na Manchester City badala ya Manchester United kutoka Nottingham Forest (Mirror).


Marc Casado Aweza Kuondoka Barcelona

Marc Casado yuko tayari kuondoka Barcelona baada ya kupoteza nafasi ya kucheza mara kwa mara (SER Catalunya).


Fenerbahce Wamtaka Bissouma

Fenerbahce wanapanga kumsajili Yves Bissouma kutoka Tottenham Hotspur (TurkishFootball).


Vita ya Araujo: Chelsea vs Tottenham

Chelsea na Tottenham Hotspur zote zinamfuatilia Maxi Araujo wa Sporting CP (CaughtOffside).

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
23h ago
READ MORE β†’