Beki wa Singida Black Stars, Ibrahim Imoro amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2025/26, huku Steve Barkerwa Simba akichaguliwa Kocha Bora wa ligi hiyo kwa mwezi huo.
Imoro alionesha kiwango kizuri chenye mwendelezo kwa mwezi huo ikiwa ni pamoja na kufunga mabao matatu katika michezo mitano ambayo Singida ilicheza na kuisaidia timu yake kupanda..... download Xtra 90 App



