International,Normal News,UEFA, Barcelona, Atletico Madrid, PSG, Liverpool, Local

PSG, Atletico mguu ndani nusu fainali UEFA.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
9 Apr 2026
PSG, Atletico mguu ndani nusu fainali UEFA.

Matokeo ya michezo ya leo ya UEFA Champions League yameendelea kuonyesha ushindani mkali katika hatua ya robo fainali mzunguko wa kwanza:

• Barcelona 0–2 Atlético Madrid

Barcelona wakiwa nyumbani wamechezea kichapo cha magoli mawili kwa bila mchezo huo huku wakilazimika kucheza pungufu kufuatia kadi nyekundu aliyoipata beki wao Pau Cubarsí. Mabao ya Julián Álvarez na Alexander Sørloth yaliihakikishia Atlético Madrid ushindi muhimu ugenini.

• Paris Saint-Germain 2–0 Liverpool

PSG nao wameendelea kuonyesha ubora wao wakiwa nyumbani kwa kuibuka na ushindi mzuri dhidi ya Liverpool. Mabao ya Désiré Doué na Khvicha Kvaratskhelia yalitosha kuwapa faida muhimu kabla ya mchezo wa marudiano utakaopigwa katika dimba la Anfield ( uingereza).

Matokeo haya yanaweka presha kubwa kwa Barcelona na Liverpool katika michezo ijayo, huku Atlético Madrid na PSG wakijijengea nafasi nzuri ya kusonga mbele.

More Stories

Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
4h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
4h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
6h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
7h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
10h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
12h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
13h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
1d ago
READ MORE β†’