Mshambuliaji wa Simba SC Jonathan Sowah, amewasilisha barua rasmi kwa uongozi wa klabu hiyo akiomba kuvunja mkataba wake, kufuatia mgogoro wa kinidhamu unaomkabili.
Taarifa za ndani zinaeleza kuwa hatua hiyo imekuja baada ya mchezaji huyo kusimamishwa na klabu kutokana na tuhuma za utovu wa nidhamu. Awali, Sowah alipewa nafasi ya kujitetea huku uongozi ukisubiri kutoa uamuzi wa mwisho..... download Xtra 90 App



