Hatua ya nusu fainali ya CAF Champions League 2025–26 inaanza rasmi mwishoni mwa wiki hii, huku timu nne bora barani Afrika zikishuka dimbani kusaka nafasi ya kucheza fainali ya michuano hiyo mikubwa zaidi ya vilabu.
Ratiba inaonesha kuwa mechi za mkondo wa kwanza zitapigwa Aprili 11 na 12, kabla ya marudiano kufanyika Aprili 18, 2026.



