Klabu ya Yanga imewataka mashabiki wake kujitokeza kwa wingi katika uwanja wa KMC Complex kesho Jumamosi, Aprili 11, kuipa sapoti timu hiyo itakapovaana na TMA Stars katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la CRDB.
Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe, alisema klabu hiyo inalenga kushinda mchezo huo ili kutinga hatua ya robo fainali na..... download Xtra 90 App



