Yanga yachomoza na ushindi mwembamba dhidi ya TMA Stars kombe la CRDB

Joel JJ By Joel JJ • 11th April 2026


Yanga yachomoza na ushindi mwembamba dhidi ya TMA Stars kombe la CRDB

Mabingwa watetezi wa kombe la CRDB, Yanga SC, wamefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya TMA Stars katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.

Katika pambano hilo lililokuwa na ushindani mkubwa, Yanga walilazimika kufanya kazi ya ziada kuivunja safu ngumu ya ulinzi ya TMA Stars. Licha ya kumiliki sehemu..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →