Mbio za ubingwa wa Premier League 2025/26 zimechukua sura mpya baada ya Arsenal kujikwaa tena nyumbani. Kipigo dhidi ya Bournemouth katika dimba la Emirates kimefufua matumaini kwa Manchester City, ambao sasa wana nafasi halisi ya kurudi kwenye kinyang’anyiro cha taji.
..... download Xtra 90 App



