Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) imeingia katika hatua ya nusu fainali kwa kishindo, baada ya AS FAR ya Morocco kupata ushindi muhimu wa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mchezo wa kwanza uliopigwa Jumamosi, Aprili 11, 2026.
Katika pambano hilo lililochezwa jijini Rabat, AS FAR ilionyesha ubora wake mbele ya Berkane kwa kufunga mabao mawili kipindi cha pili kupitia Ahmed..... download Xtra 90 App



