International,Normal News,Manchester city, Chelsea, Arsenal, EPL

Man city hawashikiki EPL, vita ya ubingwa yarudi upya

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
12 Apr 2026
Man city hawashikiki EPL, vita ya ubingwa yarudi upya

Manchester City wameendelea kuonyesha dhamira ya kweli ya kuwania ubingwa baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa ligi uliopigwa darajani.

Katika mchezo huo, City walikuwa bora kuanzia mwanzo hadi mwisho, wakitawala umiliki wa mpira na kutengeneza nafasi nyingi za mabao. Nico O’Reilly aliifungia City bao la kwanza, kabla ya Guehi kuongeza la pili na kuifanya timu hiyo kuwa katika nafasi nzuri zaidi. Jeremy Doku alihitimisha ushindi huo kwa bao la tatu, akihakikisha alama zote tatu zinakwenda upande wa Pep Guardiola.

Matokeo hayo yanazidi kuwapa nguvu Manchester City katika mbio za ubingwa, huku wakipunguza pengo la pointi dhidi ya vinara wa ligi na kuongeza presha katika hatua za mwisho za msimu.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
2h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
6h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
7h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
9h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
9h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
13h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
15h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
15h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’