Klabu ya Mamelodi Sundowns imejiweka katika nafasi nzuri ya kutinga fainali ya CAF Champions League baada ya kuibuka na ushindi muhimu wa bao 1-0 dhidi ya Espérance Sportive de Tunis katika mchezo wa nusu fainali (mkondo wa kwanza) uliochezwa Aprili 12, 2026 nchini Tunisia.
Bao pekee la mchezo lilifungwa na mshambuliaji Brayan León dakika ya 51 kwa kichwa maridadi, akimalizia vyema..... download Xtra 90 App



